SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

OFISI YA RAIS KATIBA, SHERIA, UTUMISHI NA UTAWALA BORA

Taasisi za Wizara


Taasis Zinazojitegemea Zilizopo chini ya Wizara.

  1. Mahkama Kuu.
  2. Baraza la Mapinduzi.
  3. Tume ya Maadili ya Viongozi.
  4. Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali.
  5. Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi.
  6. Kamisheni ya Utumishi wa Umma.
  7. Tume ya Utumishi Serikalini.
  8. Tume ya Utumishi wa Mahkama.
  9. Chuo cha Utawala wa Umma.
  10. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
  11. Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka.
  12. Tume ya Kurekebisha Sheria.
  13. Kamisheni ya Wakfu na Mali Amana.