Watendani katika Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora wamesisitizwa kuongeza ushirikiano, uzalendo na bidi ili kutimiza malengo ya wizara hiyo.
Tamko hilo limetolewa na waziri wa wizara hiyo Mhe.Harou. . .
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Nd. Hadid Rashid Hadid amesisitiza mafisa wa sheria katika kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia kujikita zaidi katika migogoro ya Ardhi, malalamiko ya miradhi na madai ya dhulma kwa watu wasio na uwezo.
Ta. . .
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mheshmiwa Khamis Ramadhan Abdalla, ameutaka Uongozi wa Chama Chama Cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA) kufanya marekebisho ya Katiba yake ili kuwawezesha wana chama wake kutoka Zanzibar kuchaguliwa kwenye nafasi mbali mbali z. . .