Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Mwalimu Haroun Ali Suleiman ameeleza kuridhishwa na hatua zinazochukuliwa na Saudi arabia ambazo zimekuwa zikichangia kuimarika kwa uhusiano baina ya nchi hiyo na zanzibar .

Mhe. Haroun Ali Suleiman
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora

Mhe. Haroun Ali Suleiman
Akutana na Waziri wa Hijja na Umra Dk. Abdulfattah Suliman Mashat Nchini Saudi Arabia

Mhe Machano Othman Said
Mwenyekiti wa Kamati ya Kusimamia Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi

Mhe Machano Othman Said
Akitoa ushauri kwa Serikali kutafuta eneo la jengo la chuo cha IPA Pemba

Mhe Hamza Hassan Juma
Kaimu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora

Mhe Hamza Hassan Juma
Amewasisitiza watendaji wafanye kazi kwa uwadilifu ameyasema hayo (OR)KSUUB Mazizini Unguja

Katibu Mkuu (OR)KSUUB
.

Nd. Mansura Mosi Kassim
Akisoma taarifa ya utekelezaji wa majumuisho ya (OR)KSUUB