Waziri wanchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala bora Mhe Haroun Ali Suleiman amewataka maulamaa na wafanyakazi wa Ofisi ya mufti kuendelea kutoa elimu kwa jamii kwani ndio msingi mkuu utakao wasaidia wananchi .
Kauli hiyo ameit. . .

waziri wa Nchi(OR)KSUUB
.

Mhe.Haroun Ali Suleiman
Amepokea tunzo na Mpango Mkakati wa miaka mitano kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka

Viongozi kupitia (OR) KSUUB
Wakisikiliza taarifa ya utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi wa CCM ya mwaka 2020-2025

Waziri wa Nchi(OR)KSUUB
.

Mhe.Haroun Ali Suleiman
Akutana wafayakazi wa Ofisi ya Mufti pamoja na Wakala wa Serikali Mtandao Zanzibar.

Waziri wa Nchi (OR)KSUUB
.

Mhe.Haroun Ali Suleiman
Akifungua Mkutano wa Kimataifa wa Masuala ya Utatuzi wa Migogoro kwa Wawekezaji

Picha ya Pamoja
Kati ya Waziri Haroun Ali Suleiman na washiriki wa mkutano wa utatuzi wa migogoro kwa wawakezaji

Kamati ya Baraza La Wawakilishi
Kamati ya kusimamia ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa ya Baraza la wawakilishi

kamati ya Baraza La Wawakilishi
wakisikiliza taarifa ya utekelezaji ya ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora

Waziri wa Nchi (OR)KSUUB
.

Mtendaji Mkuu wa Mahkama
.

Nd Kai Bashir Mbarouk
Akisoma taarifa ya majukumu ya Mahkama kuu ya Zanzibar

Naibu Katibu Mkuu
.

Nd Haji Omar Gora
Akiwasilisha Mada ya Kanuni na Sheria ya Utumishi wa Umma