.
Mwalim Haroun Ali Suleiman Ambae ni Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora, amesema sheria zitafsiriwe kwa lugha nyepesi ili kila mmoja aweze kuzifaham sheria hizo.
.
Mwalim Haroun Ali Suleiman Ambae ni Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora, amesema sheria zitafsiriwe kwa lugha nyepesi ili kila mmoja aweze kuzifaham sheria hizo.
Wiki ya Maadhimisho ya Siku ya Rushwa Afrika
.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria ,Utumishi na Utawala Bora. Mhe Haroun Ali Suleiman akimkabidhi cheti makamo wa Rais wa Jumuiya ya wanasheria Zanzibar Nd. Shehzada Amir Walli katika ukumbi wa golden tulip.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora. Mhe Haroun Ali Suleiman akizindua ripoti ya mradi wa Zanzibar Law Society uliofadhiliwa na UNDP huko katika ukumbi wa golden tulip uwanja wa ndege Zanzibar.
Akifungua mafunzo hayo kwa niaba ya Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi Idara ya Mipango ya Rasilimali watu Nd. Mshauri Abdalla Khamis amesema lengo kuu la mafunzo hayo ni kuondoa malalamiko kwa watumishi.
.
Washiriki kutoka Taasisi mbali mbali za Serikali wakishiki mafunzo hayo ya maafisa utumishi kuhusiana na uandaaji wa mpango wa mafunzo.
.
Mkurugenzi idara ya Mipango ya Rasilimali watu. Nd. Mshauri Abdulla Khamis amesema mafunzo haya yalete mabadiliko kwa watumishi.
Waaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora. Mhe Haroun Ali Suleiman akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya tatu ya wiki ya msaada wa kisheria mkutano huwo umefanyika ofisin kwake Mazizini Unguja.
.
Waziri Haroun atoa tamko kwa waandishi wa habari kuhusu kilele cha wiki ya maadhimisho ya tatu ya msaada wa kisheria ambao kilele kitafanyuika siku ya jumamosi tarehe 9/7/2022 katika ukumbi wa shekh Idrisa Abdull Wakil- Kikwajuni saa 2:00 Asubuhi.
MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
MIAKA 58 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR